Saturday, 31 May 2014
KINAMAMA PIA HAWAKUBAKI NYUMA KATIKA KUELEZEA SAFARI YA ISRAA NA MIIRAJI
Posted By:
uwasuwa
on 22:27
Kinamama wa Madrasat Shamsil Maarif hapa Arusha leo 1/6/2014 kuanzia saa 8:00 mchana watajumuika na kinamama wenzao wa hapa Arusha katika kuadhimisha safari hiyo kama tutakavyo kuletea pindi maaadhimisho hayo yatakapo anza
MSKITI MKUU WA IJUMAA KWA MOROMBO LEO 31/5/2014 WAADHIMISHA SAFARI YA ISRAA NA MIIRAJI
Posted By:
uwasuwa
on 12:28
Madrasat shamsiyyatil maaroof inayo ongozwa na maustadh Abdul Shaban pamoja na ustadh Wazir Kilama leo hii asubuhi wakishirikiana na waislamu wa kwamorombo Jijini hapa walikuwa wanakumbuka tukio la kihistoria kwa kuelezea safari ya mtume wetu Muhammd (s.a.w) kutoka Masjidil haram.....kama tukavyo kuletea kiukamilifu hapo badae inshaallah
Wednesday, 28 May 2014
IDARA YA FEDHA WAFUATILIA KWA KARIBU BLOG YAO BAADA YA KUZINDULIWA
Posted By:
uwasuwa
on 00:52
![]() |
| USATADH ABDUL SHABAN NA USTADH MASOUD HUSSEIN PEMBENI YAO NI KATIBU WA UWASUWA AKIRATIBU BAADHI YA MAMBO WAKATI WA UZINDUZI HUO. |
Tuesday, 27 May 2014
MUDIYR WA AL-AZHAR JIJINI ARUSHA AKIELEZEA SAFARI YA MIIRAJI
Posted By:
uwasuwa
on 00:26
Subscribe to:
Posts (Atom)



