Mtume Muhammad (s.a.w) amesema :Mwenye Kufunga Ramadhan Kisha akafuatishia sita katika mwezi wa shawwali anakuwa kama aliefunga mwaka mzima.
Wapendwa waislamu Hali ikiwa ni kama hivyo nawahimiza kila mmoja ajitahidi kabla ya mwezi kuisha apate siku sita za Kufunga Allah atuwezeshe na atusamehe makosa yetu