Zaidi ya Wapalestina 230 wameuawa shahidi katika
mashambulizi ya utawala haramu wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza. Idadi
hiyo imeongezeka baada ya uatawala huo kufanya mashambulizi mengine
dhidi ya makazi ya raia katika eneo la mashariki mwa eneo la Rafah la
kusini mwa ukanda huo. Raia watano waliuawa shahidi mapema leo katika
shambulizi jingine la ndege za kivita za utawala huo katika maeneo ya
Khan Yunus, Beit Lahya na Dirul-Balah huko Ghaza. Wakati huo huo
usitishwaji vita kwa masaa ulioitishwa na Umoja wa Mataifa kwa lengo la
kuwasilisha misaada ya kibinaadamu katika ukanda huo, umeanza
kutekelezwa. Kwengineko, duru za habari zinaeleza kuwa katika
mashambulizi ya siku 10 dhidi ya eneo la Ghaza, utawala haramu wa
Kizayuni umetumia tani elfu nne ya mada za miripuko katika eneo hilo.
Hayo yamebainishwa na mratibu wa harakati ya kuvunja mzingiro wa Ukanda
wa Ghaza, Bwana. Nabil Halak katika mahojiano aliyofanyiwa na kanali ya
habari ya Press TV na kuongeza kuwa, mashambulizi ya Israel dhidi ya
Ghaza ni mauaji ya halaiki yasiyo na mlingano. Aidha Nabil amebainisha
kuwa, asilimia 80 ya wahanga wa mashambulizi ya utawala huo katili ni
raia wasio na hatia, hususan watoto wadogo, wanawake na wazee.
Thursday, 17 July 2014
Saturday, 12 July 2014
MASHINADANO YA QUR-AN YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA MADRASAT MUHAJIRINA NI KAMA IFUTAVYO
Posted By:
uwasuwa
on 01:12
| MC .WA MASHINDANO HAYO AKIWAKABIDHI MAJAJI MAJUKUMU YA KUSIMAMIA MASHINDANO HAYO |
| MWANAFUNZI WAILD SAID NA RADHWIYA AYOUB WAKISOMA QUR-AN KATIKA MASHINDANO HAYO |
| HILI NI JUKWAA LA KINA BABA WAKISIKILIZA QUR-AN KWA UMAKINI WA HALI YA JUU |
| MC AKIITIKIA DUA ILIYO SOMWA NA NAIBUL MUDIYR SHEIKH FADHIL Baada ya kukamilisha kundi la kwanza la juzuu moja tulielekea kuswali swala ya adhuhuri |
| KINA MAMA PIA HAWAKUBAKI NYUMA KATIKA MASHINDANO HAYO |
| MEZA KUU TUNAMUONA SHEIKH MUHAMMAD BAKAR AKIWA NA BAADHI YA MASHEIKH |
| MWENYEKITI WA CCM MKOA AKIWA WAMEFUATANA NA MWENYEKITI WA WILAYA WA BAKWATA SHEIKH HUSSEIN CHIFUPA |
Friday, 11 July 2014
HOFU YA KWENDA KUSWALI WAISLAMU WA NCHINI MYANMAR YAENEA KWA KUOGOPA KUSHAMBULIWA NA MABUDHA
Posted By:
uwasuwa
on 14:40
Umoja wa mataifa unasema waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar ni kati ya watu wanao dhulumiwa zaidi duniani
KESHO TAREHE 12/7/2014 KUTAKUWA NA MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR-AN YALIYO ANDALIWA NA MADRASAT MUHAJIRINA HIMO
Posted By:
uwasuwa
on 10:30
tunatarajia kuwa na washiriki kutoka mikoa ya Dar es saalm Arusha na Kkilimanjaro karibu kwenye mashindano hayo kama tutakavuo kuletea habari kamili hiyo kesho endelea kufuatilia kwa karibu
Thursday, 10 July 2014
VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU JIJINI ARUSHA WASUSIA FUTARI ITAKAYO ANDALIWA NA MUNADHAMAT DAAWAT ISLAMIYA
Posted By:
uwasuwa
on 10:31
Baada ya kung`amua hila wanazo penda kuzitumia wanataasisi hao wa munadhamat daawa ya jijini Dar-es-salaam hasa hapa kwetu Arusha tumeamua kutohudhuria semina ambayo inakusudiwa kufanywa kesho siku ya ijumaaa tarehe 11/7/2014 kuanzia saa 8:00 mchana -saa12:00 jioni na kufuatiwa na futari, katika ukumbi wa ccm mkoa ambapo mualiko wao unasema mgeni rasmi atakuwa mkurugenzi wa jiji la Arusha na mada itakayo wasilishwa itakuwa ni fursa za kiuchumi kwa waislamu .
uipatapo taarifa hii mfahamishe kiongozi mwenzako
WAKATI AMBAPO WENZETU WAZANZIBAR WAKIFURAHIA KUFUTURISHWA PASI NA SEMINA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI WA ZANZIBAR MHE.MAALIMU SEIF SHARIFU HAMD NYUMBANI KWAKE MBWENI KAMA PICHA INAVYO ONYESHA HAPO CHINI SISI HUKU ARUSHA FUTARI MFANO WA HIYO IMEKUWA CHUNGU
uipatapo taarifa hii mfahamishe kiongozi mwenzako
WAKATI AMBAPO WENZETU WAZANZIBAR WAKIFURAHIA KUFUTURISHWA PASI NA SEMINA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI WA ZANZIBAR MHE.MAALIMU SEIF SHARIFU HAMD NYUMBANI KWAKE MBWENI KAMA PICHA INAVYO ONYESHA HAPO CHINI SISI HUKU ARUSHA FUTARI MFANO WA HIYO IMEKUWA CHUNGU
Sunday, 6 July 2014
Watu 29 wauawa katika shambulizi, Kenya- 6 Julai, 2014
Posted By:
uwasuwa
on 14:33
Mashambulizi katika eneo la Mpeketoni kenya
Wizara ya maswala ya ndani
nchini Kenya inasema kuwa takriban watu thelathini wameuawa katika
mashambulizi mawili tofauti katika makaazi ya pwani ya kenya karibu na
mpaka wa Somali.
Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya
Tanariver huku tisa wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi
katika kituo kimoja cha kibiashara kaunty ya lamu karibu na mpaka wa
Somali.Inadaiwa kuwa watu walikuwa wakitizama mechi za kombe la dunia wakati wa tukio hilo.
Shambulizi la pili lilitekelezwa karibu na eneo la Mpeketoni ambapo zaidi ya watu sitini waliuawa katika shambulizi jengine mwezi uliopita.
Kundi la wapiganaji wa Al shabaab limekiri kutekeleza mashambulizi hayo.
6 Julai, 2014 - Saa 20:48 GMT
Mashambulizi katika eneo la Mpeketoni kenya
Wizara ya maswala ya ndani
nchini Kenya inasema kuwa takriban watu thelathini wameuawa katika
mashambulizi mawili tofauti katika makaazi ya pwani ya kenya karibu na
mpaka wa Somali.
Watu 20 waliuawa katika eneo la Gamba kaunti ya
Tanariver huku tisa wengine wakiuawa kufuatia ufyatulianaji wa risasi
katika kituo kimoja cha kibiashara kaunty ya lamu karibu na mpaka wa
Somali.Inadaiwa kuwa watu walikuwa wakitizama mechi za kombe la dunia wakati wa tukio hilo.
Shambulizi la pili lilitekelezwa karibu na eneo la Mpeketoni ambapo zaidi ya watu sitini waliuawa katika shambulizi jengine mwezi uliopita.
Kundi la wapiganaji wa Al shabaab limekiri kutekeleza mashambulizi hayo.
Friday, 4 July 2014
BOMU LINGINE LAJERUHI NYUMBANI KWA SHEIKH
Posted By:
uwasuwa
on 02:39
![]() | ||
| BAADHI YA ASKARI NA RAIYA WAKIWA MAENEO YA TUKIO |
![]() |
| DILISHA LA NYUMA LILIPO RUSHIWA BOMU HLO |
![]() |
| KILA MTU ANASTAAJABU KUTONA NA HALI ILIVYO |
![]() |
| picha ya majeruhi wa bomu wakiwa hospitali ya mkoa wa arusha |
Subscribe to:
Posts (Atom)



