Kongamano la Miiraji Tarehe 25/05/2014 saa 2:00 asubuhi Ukumbi wa CCM Mkoa - Arusha. More... Click Here!


Monday, 4 July 2016

MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR-AN YALIYO ANDALIWA NA MADRASAT SHAMSIL MAARIF-MKOA WA ARUSHA

KAMA ILIVYO KUWA KAWAIDA YA MADRASAT SHAMSIL MAARIF KILA MWAKA KUANDAA MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR-AN MWAKA HUU WALIYAFANYA TAREHE 3/7/2016 SAWA NA RAMADHAN 27/1437









Wednesday, 23 March 2016

MICHAKATO INAYO ENDELEA ILI KUPATA USAJILI WA KISHERIA

BAADHI YA VIKAO AMBAVYO UWASUWA WAMEWAHI KUKAA NI PAMOJA NA KIKAO CHA KUPITIA RASIMU YA KATIBA YA UMOJA HUO KUPITIA MWANASHERIA WA WAKATI HUO NDUGU KHALID LUNG`WECHA KAMA BAADHI YA PICHA ZINAVYO ONYESHA.
NDUGU KHALID LUNG`WECHA NI MWANASHERIA WA KUJITEGEMEA MWENYE KAMPUNI YA MAWAKILI YENYE KUJILIKANA KWA JINA LA  LETAN & CO. ADVOCATES YA MJINI ARUSHA

BAADA YA KIKAO KUFNGULIWA NA MWENYEKITI WA KIKAO HICHO USTADH MASOUD HUSSEIN  MOJA KWA MOJA ALIMKARIBISHA MWANASHERIA ILI AENDELEE NA UCHAMBUZI WA RASIMU YA KATIBA YA UWASUWA 
 Mwanasheria aliomba ufafanuzi kwa kusema '' NAOMBA UFAFANUZI KATI YA AHLS SUNNA WALJAMAA NA ANSWAR SUNNA " Nae mwenyekiti pasi na kusita alimwambia Ahls sunna waljamaa wao ni wafuasi wa maimamu wanne yaani:-
 ( 1 ) IMAMU ABUHANIYFAH NU`UMAN IBNI THAABIT ambaye alizaliwa mwaka wa 80 hiriyyah na kufa  mwaka wa 150 hijiriyyah' 
 (2) IMAMU MALIK IBNI ANASI IBNI ABIY A`AMIR AL-ASBAAHIY  ambaye alizaliwa mwaka wa 93 hijirriyah na kufa mwaka wa 179 hijiriyyah ,
( 3 ) IMAMU MUHAMMAD BIN IDRIYSA ASHAFI`IY ambaye yeye alizaliwa mwaka wa 150 hijiriyyah  na kufa mwaka wa 204 hijiriyyah
( 4 )IMAMU AHMED IBNI HANBAL HILAL IBNI ASAD ASHAYBANIY ambaye yeye alizaliwa mwaka wa 164 hijiriyyah na kufa mwaka wa 241 hijiriyyah.
        Ama answar sunna wao ni wafuasi wazuri wa sheikh muhammad bin abbdilwaha ambaye kudhihiri kwake ni miaka ya 1143 hijiriyyah kama alivyo lielezea hilo mwenye kitabu afajiri swaadiq ukurasa wa 11.amakuhusu hitoria yake iko siku tutakuja kuielezea kwa ufasaha zaidi.



BAADHI YA WANA UWASUWA WAKIWA KWENYE KIKAO WAKIPEWA UFAFANUZI WA KISHERIA JUU YA RASIMU YA KATIBA YA UMOJA KAMA TUTAKAVYO KUANISHIA MAJINA YAO HIVI PUNDE

KATIBU WA KIKAO HICHO USTADH ABDUL SHABAN ANTA AKICHUKUA DONDOO KAMA ANAVYO ONEKAKANA AKICHUKUA BAADHI YA DATA

AMA WALIO SIMAMA WAKWANZA MWENYE SHATI JEKUNDU NI USTAD ABDUL SHABAN KUTOKA MASJID MAAROOF  KWA MOROMBO, AKIFUATIWA NA USTADH HASSAN SALIMU KUTOKA MASJID RAMADHAN KWA MOROMBO,AKIFUATIWA NA USTADH TWAHA MUHAMMAD KUTOKA MASJID TAWBA NJIRO, AKIFUTIWA NA KHALID LUNG`WECHA ( MWANASHERIA ) AKIFUATIWA NA USTADH SULEYMAN RAMADHAN KUTOKA MSIKITI WA MAUA ( SOKONI ONE )AKIFUATIWA NA USTDHA ALLY SAID MGELWA KUTOKA OLASITI 
                AMA WALIO KAA WAKWANZA MWENYE KANZU NYEUPE NI USTADH OMAR MBWANA MAYA KUTOKA BULLET MADUKAN, ANAYE FUATA NI USTADH MSOUD HUSSEIN KUTOKA MSIKITI WA SHAMSI ,ANAYE FUATA NI USTADH ATHUMAN HUSSEIN KUTOKA MSIKITI MKUU WA NGARENARO,ANAYE FUATA NI USTADH ABUSHEIKH RAMADHAN KUTOKA MASJIDI MINAA JR ,ANAYE FUATA NI USTADH MIRAJI KHAMIS KUTOKA MASJID TAQWA MAJENGO, ANAYE FUATA NI USTADH ABUBAKAR MUHAMMAD ( MAULANA )KUTOKA MASJID THAWABI ULUSUNYAI NA MWENYE KANZU YA KIJIVU USTADH JABIR MUHAMMAD KUTOKA SHAMSI

AMA BAADHI YA WANA UWASUWA SURA ZAO HAZIONEKANI HAPO KUTOKANA NA JAMBO  LA DHARURA LILILO JITOKEZA SIKU HIYO WAO WALITUWAKILISHA KULE NASI TULIWAWAKILISHA HAPA.

Monday, 15 June 2015

SHEREHE ZA MAAHAD SHAMSIL MAARIF MKOANI TANGA 2015 ZA KAMILIKA JANA 14/6/2014

madarasati shamsil maarif kwa sheikh muhammad bin abibakar alburhan mtaa wa duga mjini tanaga jana ilikuwa ndio kilele cha maadhimisho ya kiilimu ambayo huwa yanafanyika kila mwaka tarehe zinazo karibiana na hizi ama mwaka huu maadhimisho hayo yaliaza tarehe 11 /6 /2015 na kuishia tarehe 13/6/2014 kama ambavyo tutakuleyea habari hizi hapo badae


















Tuesday, 9 June 2015

UFUNGUZI WA MASJIDI HABIYB SWAALEH MKOANI ARUSHA KATA YA TERATI MTAA WA BONDENI LEO TAREHE 9/6/2015

مسجد حبيب صالح

 SEHEMU YA KIBLA YA MASJIDI HABIYBU SWALEHE MTAA WA BONDENI TERATI

MASHEIKH PAMOJA NA WAGENI MBALIMBALI WAKIWA MEZA KUU KATIKA HAFALA HIYO 

WAGENI WAALIKWA KUTOA NCHI JIRANI YA KENYA PAMOJA NA MASHEIKH MBALIMBALI WA JIJI LA ARUSHA WAKIONGOZA MSAFARA KUELEKA MSIKITINI KWA AJILI YA UFUNGUZI WA MASJID HABIYBU SWALEH MTAA WA BONDENI KATA YA TERATI KAMA BAADHI YA PICHA ZINAVYO ONYESHA BAADHI YA MATUKIO

SAYYID SHARIFU HUSSSEIN BADAWIY AKITOA UTEPE KWENYE MLANGO WA MSIKITI HUO IKIWA NI ISHARA YA UFUNGUZI RASMI WA MSIKITI HUO.

SHEIKH WA MKOA SHEIKH SHABAN JUMA AKIWA NA WAGENI WAKE KATIKA PICHA YA PAMOJA NDANI YA MSIKITI

   BAAADHI YA WAUMINI WAKITABARUKU KWA KUSWALI NA WENGINE                      WAKISHANGAA NAMNA MSIKITI ULIVYO KUWA MKUBWA NA MZURI

  ENEO LA NJE YA MSIKTI AMBALO BAADAE KTAKUWA NA PROGRAM YA UJENZI WA SHULE YA AWWALI

   KATIBU WA BAKWATA MKOA NDUGU ABDALLAH MASOUD AKIWA KATIKA KITI CHA KWANZA UPANDE WA KUSHTO

Baadhi wa wanamadrasa wakitumbuiza kwa Qasida katika hafla hiyo

Sunday, 31 May 2015

MAULIDI MAKUBWA NA UFUNGUZI WA MSIKITI WA ANSWARI SUNNA WILAYANI MBULU JANA TAREHE 29 NA 30/5/2015

Familia ya Merehemu Kassu kama ilivyo kawaida yao kumuadhimisha Mtume Muhammad (s.a.w ) hapa Mbulu mwaka huu pia hawakubakia nyuma katika maadhimisho hayo ambayo mwenyeji wao Dk Izack Kassu huwa akiyasimamia kwa umadhubuti wa hali ya juu kuhakikisha yanafanikiwa kama baadhi ya picha zinavyo onyesha baadhi ya matukio
MZEE BOHARI AKIWA AMESIMA AKIFUATIWA NA BW.MUSSA KASSU KUTOKA TANGA NA ANAE FUATA NI MZEE OMARY KASSU KUTOKA IRINGA NA ANAEFUATA NI MZEE ALLY KASSU KUTOKA ARUSHA AKIFUTIWA NA SHEMEJI YAO MZEE SULEYMAN


Huu ni msafara wa Zafa ukiwa unazunguka Mjini hapa ukiongoza na Madrsa ya marehemu Sheikh Masoud kutoka Babati, na yote hayo ni katika shamrashamra za kuonyesha furaha na mapenzi makubwa juu ya kienzi chao Mtume Muhammad s.a.w

HII NI PICHA YA BANGO LILILOKO KWENYE LANGO LA KUINGILIA  MSKITINI HAPO














Friday, 1 May 2015

MUHADHARA MKUBWA WAFANYIKA ARUSHA

Umoja wa Walimu wa Ahls-Sunna Wal jamaa Arusha ( UWASUWA ) Jana jioni 29/4/2015 katika msikiti mkuu wa ijumaa  ngarenaro al maarufu kwa sheikh mahmuud Salim ulifanya muhadhra ulio simamiwa na walimu wanosomesha dini mkoani hapa ambapo mada teule zilikuwa ni mbili.


Walimu wa Madrasa baada yakuona maswali yamekuwa mengi kuhusu Maulidi ya Mtume Muhammad (s.aw.) kwamba inafaa kuadhimisha au haifai kuadhimisha, na badhi ya waumini kuuliza juu M.Mungu kwamba yuko wapi kwakutatizwa kwao na tafri ya juu juu ya inayo tolewa na baadhi yetu tafsiri ya  sura iliyo teremshwa makkah sura ya 45 kuteremshwa sura yenye aya 135 matamko 1641 herufi 5242 kwa mpangilio wa msahafu ni sura ya 20 aya ya 5 yenye kujulikana kwa jina la surat twaahaa kama tunavyo iyona aya hiyo      ( الرَّحْمَنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَى )
   " Arrahmani, Mwingi wa Rehema, aliye tawala juu ya Kiti cha Enzi "Qur-an 20:5
Ili walazimu UWASUWA kutekeleza majukumu yao katika jamii ya kiislamu kwa kufanya muhadhara wenye mada kuu mbili mada ya maulidi na mada ya tawhidi ambapo mada ya maulidi ili wasilishwa na mwenyekiti wa UWASUWA ustsdh OMARY SAIDI JOUR kutoka Taasisi ya Hidaya Olmatejo  na mada ya tawhidi iliwasilishwa na katibu idara ya Da'awa ustadh Hussein suleyman auf kutoka Taasisi ya Tarbiyatil ilsaam Jr
Mwenyekiti wa UWASUWA  akiwasilisha mada yake kuhusu kufaa kumuadhimisha Mtume ( s.a.w ) mada ambayo nukuu zake nyingi ilikuwa ni kutoka kwa watu walio ishi na Mtume ( Maswahaba ) namana walivyo msifu Mtume ( s.a.w ) , na nukuu nyingine zikitoka kwa wanazuoni wakubwa wa kiislamu namna walivyo elezea kufaa kumsifu bwana Mtume unaweza pia kuzisikiliza mada hizo kupitia Chanel yetu ya youtube.


Baadhi ya waumini wakiwa katika muhadhara huo wakipata faida mbalimbali juu ya kumsifu Mtume (s.a.w )


Ustadh Jabir  Muhammad na Ustadh Miraj Khamis  wakijaribu kurekodi mada kupitia simu zao za mkoni kama wanavyo onekana katika safuhii  ya mbele.



Baada ya mada ya kwanza kukamililika MC wa Muhadhara huo Ustadh Athuman Hussein al marufu kwa jina la Msingidaa alimkaribisha mtoa mada wa pili Ustadh Auf kama tunavyo muona akiweka bidhaa zake mfukoni kwa ajili ya kusima ili kwasilisha mada yake inayo usiana na Tawhidi.

 Katibu Idara ya Da'awa Ustadh Auf  akiwasilisha mada yake akimuelezea M.Mungu yuko wapia jaribu kuchungulia kwenye youtube mwanzo mwisho naamini utapata vitu vizuri na imani yako itatulizana.


Nae Ustdh Khalid Mustfa kutoka Madrasat Taqwa Majengo ya juu akichukua kumbukumbu ili aweze kuwafikishia baadhi ya  waumini ambao hakuweza kufika katika muhadhara huo kama alivyo nidokeza kutokana na unyeti wa mada zinazo endelea.

Nae Ustadh Omary kutoka Patandi ambae ni mukhitimu wa Maahadi ya kisauni Nchin Kenya aliye kaa kwa mshangao katika safu ya kwanza mbele baada ya kusikia namna mawahabi wanavyo potosha umma kwa kukataa kwao Majazi na Taawili ambapo Mtume ( s.a.w ) anamuombea Swahaba wake Abdallah Ibun Abbas Mwenyezi Mungu amfahamishe Ibn Abbas Tafsir na Taawili ya aya za Qur-an ambapo mtoa mada alipo alitoa mifano mingi mpaka kufikia kuielezea aya  iliyoteremshwa Makka Sura ya 56 kuteremshwa sura yenye aya 182 matamko 860 herufi 3826 kwa mpangilo wa msahafu ni sura ya 37 aya ya 99 yenye kujilikana kwa jina la Surat Sswaaffaat M.Mungu anasema :-
 وَقَالَ إِنِّي ذَاهِبٌ إِلَى رَبِّي سَيَهْدِينِ

 "Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa "
na Mufasirina wana kubaliana kwamba hijra aliyo ifanya Nabii Ibrahima baada ya kutoka salama kwenye Moto alikwnda katika mji wa Shamu mtoa mada akasema "kwa mujibu wa mawahabi wanaokataa taawili na majazi wakichukuwa dhwahiri ya aya kwamba M.Mungu alikuwa yuko kwa maaan Nabii Ibrahimu alihamia mji wa shamu "
 إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
 Huu ni msiba mkubwa .
UWASUWA  wanakuahidi mwezi ujao kukuletea Muhadhara mwingine Mkubwa kushinda huu mada kuu itakuwa ni Funga ya Ramadhan je,twatakiwa kufunga kwa kufuata mwezi utakapo onekanapopote Duniani au kila watu wa mji wanakuona kwao.
Kwa sababu kuna Redio moja hapa Nchini wanasema ni yakiislamu  ikikaribia muandamo wa mwezi wa Ramadhan ina amua kusema uongo mwaka majuzi tulidanganywa kuna mwanamke Mkoa wa Mwanza yeye na familia yake tu wameuona mwezi na UWASUWA  walipo jitahidi kuwasiliana na waislamu wa Mwanza waislamu wa Mwanza walikanusha habari hizo .
        Na mwaka uliofuata tulidanganywa kuwa huko Kibiti Lindi Mwalimu wa shule na wanafunzi wake wameuona Mmwezi na tulipo lifutilia hilo kwa Masheikh wa maeneo hayo pamoja na Waumini wao walikanusha kwa nguvu zote  taarifa hizo za uzushi kwa ajili ya maslahi fulani
 UNAWEZA KUZIPATA BAADHI YA TAARIFA ZETU KUPITIA KWENYE FACEBOOK AU YOUTUBE AU MOJA KWA MOJA KUPITIA BLOG HII .






Copyright @ 2014 UWASUWA.

Designed by Japhary | Japhary Juma